Welcome to this forum where we share
knowledge about a number of issues
related to people's livelihoods.
Karibu katika ulingo huu tubadilishane mawazo
juu ya maisha ya watu.
Saturday, September 24, 2011
Prof. Dzodzi Tsikata mwenye miwani na Tisheti nyeupe kulia akiwa katika Tenti la HAKIARDHI siku ya Kongamano la Jinsia lilofanyika Sept 13 hadi 16 Dar es salaam, waliopo kushoto ni baadhi ya wafanyakazi wa HAKIARDHI. Mezani ni baadhi ya Machapiho ya HAKIARDHI
No comments:
Post a Comment